Back to home

Familia ya Kawangware yalilia haki baada ya kifo cha jamaa yao baada matibabu ya meno

video
C
Citizen TV (Youtube)
January 8, 2026
19h ago
Familia moja katika eneo la Kawangware hapa Nairobi inatafuta haki kwa jamaa yao aliyezidi kuugua baada ya matibabu ya meno. Amos Isokaa alilazimika kulazwa hospitalini kurekebishwa hali aliyo nayo baada ya kudai utepetevu wa kliniki ya awali aliyozuru.
Advertisement