Back to home
Bandari FC tayari kupigania ushindi wa kwanza wa mwaka dhidi ya Kakamega Homeboyz
video
C
Citizen TV (Youtube)January 8, 2026
20h ago
Kaimu kocha mkuu wa Bandari Fc, Razak Siwa, amesema kikosi chake kiko tayari kupigania ushindi wao wa kwanza wa mwaka huu watakapowakaribisha Kakamega Homeboyz siku ya jumamosi katika mchuano wa ligi kuu ya Kenya
Advertisement
Advertisement





