Back to home
Familia ya Nyamira yafuatilia haki baada ya kifo cha Eric Mokaya kufuatia kipigo cha naiibu chifu
video
C
Citizen TV (Youtube)January 8, 2026
20h ago
Familia moja kijiji cha Enchoro kaunti ya Nyamira inadai haki kwa jamaa yao aliyefariki baada ya kudai kuvamiwa na naibu chifu wa eneo hilo. Eric Mokaya anadaiwa kufumaniwa mwezi Disemba, na kupata majeraha yaliyosababisha kifo chake. Hata hivyo, naibu chifu amepinga madai ya kum
Advertisement
Advertisement




