Back to home
Vita dhdidi ya pombe haramu Kapsabet
video
C
Citizen TV (Youtube)January 9, 2026
15h ago
Siku chache baada ya Rais William Ruto kutangaza mpango wa siku 100 wa kupambana na matumizi mabaya ya pombe na dawa za kulevya nchini, vyombo vya usalama katika Kaunti ya Nandi vimepigwa jeki kwa gari la polisi litakalotumika katika operesheni za kudhibiti janga hilo.
Advertisement
Advertisement




