Back to home
Kinara wa DCP Gachagua akosoa mfumo uliotumiwa kwa mfumo wa kuwachagulia shule wanafunzi una ubaguzi
video
C
Citizen TV (Youtube)January 9, 2026
12h ago
Naye kinara wa DCP Rigathi Gachagua ameendelea kushikilia kwamba mfumo wa kuwachagulia shule wanafunzi wanaojiunga na shule za upili inaonekana kuwa na ubaguzi akisistiza kwamba mfumo huo unawakwaza wanafunzi na wazazi wengi. Gachagua akizungumza mjini Nyeri anasema kwamba serika
Advertisement
Advertisement



