Back to home
Oburu Oginga apata idhini kuzungumza na vyama vingine, asema ODM haifukuzi wanachama
video
C
Citizen TV (Youtube)January 14, 2026
2h ago
Kinara wa ODM Oburu Oginga ametangaza kwamba amepewa idhini rasmi na wafuasi wa chama hicho kuzungumza na vyama vingine kuhusu ushirikiano wao wa mwaka wa 2027. Aidha, kinara huyo ametangaza kwamba chama cha chungwa hakitamfukuza yeyote akiwataka wasioridhika kuhama chama
Advertisement
Advertisement


