Back to home
Wakulima Kisumu wapoteza mamilioni kutokana na uvamizi wa nyuni katika mashamba ya mpunga
video
C
Citizen TV (Youtube)January 15, 2026
2h ago
Wakulima wa mpunga katika kaunti ya Kisumu wanakadiria hasara ya mamilioni ya pesa, kutokana na uvamizi wa nyuni. Kwa sasa, jumla ya ekari 94 za mpunga zimeharibiwa chini ya muda wa siku kumi
Advertisement
Advertisement





