Back to home
Vijana wawili wafariki baada ya kuzama kwenye bwawa Kabete
video
C
Citizen TV (Youtube)January 18, 2026
9h ago
Vijana wawili wamefariki baada ya kuzama kwenye bwawa lililo karibu na mto Gatara eneo la Kabete kaunti ya Kiambu. Vijana hawa wamefariki walipokuwa wakirejea nyumbani kutoka kanisani
Advertisement
Advertisement




