Back to home

Waziri wa afya azindua hatua dhidi ya madaktari wasiohalali

video
C
Citizen TV (Youtube)
January 18, 2026
7h ago
Waziri wa afya Aden Duale sasa ameonya watu wanaoendesha kliniki bandia ambazo hazijasajiliwa na bodi ya madaktari nchini, akiagiza kubuniwa kwa kitengo maalum cha kupambana na madaktari bandia. Waziri duale akirejelea kifo cha majuzi cha Amos Isoka aliyefariki baada ya kufanyiwa
Advertisement