Back to home
Kiongozi wa wengi Seneti atetea mpango wa serikali wa kubinafsisha baadhi ya mashirika ya umma
video
C
Citizen TV (Youtube)January 19, 2026
2h ago
Huku mjadala kuhusu mpango wa serikali wa kubinafsisha baadhi ya mashirika ya umma ukiendelea, Kiongozi wa Wengi katika Seneti, Aaron Cheruiyot, ametetea mpango huo. Akizungumza huko Mosop, Kaunti ya Nandi, wakati wa hafla ya kuchangisha fedha za kanisa,
Advertisement
Advertisement





