Back to home
Muhoozi Kainerugaba azua tetesi kwa matamshi dhidi ya Bobi Wine
video
C
Citizen TV (Youtube)January 20, 2026
2h ago
Mkuu wa majeshi ya Uganda ambaye pia ni mwanawe rais Yoweri Museveni, Muhoozi Kainerugaba amezua tetesi baada ya matamshi yake kwenye mtandao wa x akielezea ari ya kutekeleza mauaji ya kiongozi wa upinzani Bobi Wine. Kwenye ujumbe wake, Muhoozi pia ameshabikia mauaji ya wafuasi 2
Advertisement
Advertisement




