Back to home
Serikali ya kaunti ya Machakos yapokea vifaa vya dijitali vya afya
video
C
Citizen TV (Youtube)January 22, 2026
3h ago
Waziri wa afya Adan Duale amewaonya wanaufanya ulaghai kwenye sekta ya afya kupitia malipo ya SHA kwa kuzidisha bei ya dawa na utengenezaji wa bili ya hospitali kwa huduma ambazo si za kweli kwa wagonjwa.
Advertisement
Advertisement





