Back to home

Ruto amteua Ida Odinga kuwa balozi wa Kenya katika UNEP

video
C
Citizen TV (Youtube)
January 23, 2026
2h ago
Rais William Ruto amemteuwa mjane wa waziri mkuu wa zamani hayati raila Odinga Ida Odinga kuwa balozi wa kenya katika shirika la mazingira la umoja wa mataifa UNEP, akimsifia kwa uzalendo na uchapakazi wake. Rais Ruto alisema Mama Ida ameonyesha ukakamavu tangu alipokuwa mwalimu
Advertisement