Back to home

Kampeni ya kutoa hamasisho kwa wanawake kuhusu saratani yafanyika Samburu

video
C
Citizen TV (Youtube)
January 26, 2026
6d ago
Utafiti wa shirika la kitaifa kuhusu takwimu za watu - KDHS -wa mwaka wa 2022 unaashiria kuwa ni idadi ndogo sana ya kina mama kutoka jamii zinazoishi kaskazini mwa nchi wanaojitokeza kupata vipimo vya saratani. Hali hiyo imesababisha kampeni ya kutoa hamasa kwa kina mama katika
Advertisement