Back to home

Wazee wa jamii ya Adam Ali waonya wanasiasa wanaodai kupata idhini yao kuwania ugavana Garissa

video
C
Citizen TV (Youtube)
January 28, 2026
3w ago
Wazee wa jamii ya Adam Ali kutoka   Authaq wamefutilia mbali vikali madai yanayosambazwa na baadhi ya wazee wakidai kuwa mgombea wa kiti cha ugavana wa kaunti hii, Mhandisi Mohamed Mowlid Shuriye, amebakishwa na  kumuunga mkono Gavana Ali Korane.
Advertisement