Back to home

Madaktari wa mifugo wataka washukiwa wote wanaouza nyama ya punda wakamatwe

video
C
Citizen TV (Youtube)
January 30, 2026
3w ago
Siku chache baada ya Runinga ya Citizen kuangazia Makala maalum yaliofichuo biashara haramu ya ngozi na nyama ya punda nchini, muungano wa chama cha madaktari wa mifugo bara Afrika sasa wametoa msimamo wao kuhusu uozo huo na kuitaka serikali kuchukulia hatua za kisheria wahusika
Advertisement