Back to home

Wakazi wa Mariakani kaunti ya Kilifi wasema hawakuhusishwa kuhusu ujenzi wa barabara

video
C
Citizen TV (Youtube)
January 30, 2026
6d ago
Siku chache tu baada ya wakaazi wa Mariakani kaunti ya Kilifi kuandamana wakidai kutohusishwa katika ujenzi wa barabara eneo hilo sasa mamlaka ya kitaifa ya ujenzi wa barabara KENHA imeandaa kikao cha umma ili kuhamasisha utekelezaji wa mradi huo. Wakizungumza na wanahabari baada
Advertisement