Back to home

UDA na ODM lazima wazingatie maslahi ya ODM – Gladys Wanga

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 1, 2026
3h ago
Mwenyekiti wa chama cha ODM Gladys Wanga ametangaza kwamba chama hicho kinataka kipewe asilimia nusu ya utawala wa serikali kabla ya kufanya muungano na chama cha UDA kufikia uchaguzi mkuu wa mwaka wa 2027. Na huku Wanga na viongozi wengine wakipiga mirindimo ya muungano, naibu k
Advertisement