Back to home

Wazeee wa Abagusii wataka serikali ya uingereza iwalipe fidia

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 2, 2026
2h ago
Wazee kutoka jamii ya Abagusii wamefanya maandamano ya amani katikati ya mji wa Kisii kushinikiza taifa la uingereza kuwapa fidia dhidi ya halaiki ya wenyeji waliouawa nyakati za ukoloni eneo la Gusii. Wazee hao waliobeba mabango kuashiria dhulma walizopitia pia wametoa kauli kwa
Advertisement