Back to home
Police FC sasa pointi 11 nyuma ya Gor Mahia baada ya sare 1-1 dhidi ya Bidco
video
C
Citizen TV (Youtube)February 2, 2026
2h ago
Mabingwa watetezi Police fc sasa wako pointi 11 nyuma ya viongozi Gor Mahia fc baada ya sare ya kukatisha tamaa ya 1-1 dhidi ya Bidco united katika mechi ya pekee ya ligi iliyochezwa Jumatatu alasiri. Polisi wamekusanya pointi saba pekee kati ya 18 zinazowezekana kutoka kwa mechi
Advertisement
Advertisement




