Back to home
Zoezi la kutoa vitambulisho mashinani vyaanza kaunti 10 kuleta usawa
video
C
Citizen TV (Youtube)February 2, 2026
3h ago
Maelfu ya wakazi wa Kaunti za Pokot Magharibi na Elgeyo Marakwet ambao wamekosa vitambulisho vya kitaifa kwa muda mrefu sasa wanaweza kupata stakabadhi hiyo baada ya Uzinduzi wa zoezi la Usajili mashinani, ambao umeanza rasmi hii leo.
Advertisement
Advertisement





