Back to home
Uhaba wa maji unawatatiza wakaazi Marsabit, wafugaji wahama
video
C
Citizen TV (Youtube)February 3, 2026
4d ago
Wakenya milioni 2.2 wanapokumbwa na baa la njaa kufuatia hali ya ukame, huko upande wa kaskazini mwa nchi, Wafugaji wamelazimika kusafiri mwendo mrefu kusaka bidhaa hiyo adimu na kuchimba visima vidogo kando ya kingo za mito iliyokauka ili kutafuta maji.
Advertisement
Advertisement

