Back to home

Wanaopata mshahara chini ya shilingi elfu 30 kushusha pumzi

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 3, 2026
5h ago
Wakenya wenye mapato ya chini huenda wakapata nafuu hivi karibuni iwapo mpango wa kuwaondolea ushuru wa mishahara utatimia. kwa mujibu wa waziri wa fedha john mbadi, serikali imeafikia kuwaondolea ushuru zaidi ya wakenya milioni 1.5 wenye mapato ya chini ya shilingi elfu thelathi
Advertisement