Back to home
Wafugaji Loyangalani waonywa kufuatia ndoa za mapema, watoto 200 wamerudishwa shuleni
video
C
Citizen TV (Youtube)February 3, 2026
2h ago
Wafugaji wanaoishi katika eneo la Loyangalani kaunti ya Marsabit, na ambao wanawaoza watoto wao wa kike mapema na kutowapeleka shuleni, wameonywa vikali. Haya yanajiri huku watoto 200 wakirejeshwa shuleni kufuatia kampeni iliyoendeshwa katika eneo hilo. Kama anavyotuarifu Bonface
Advertisement
Advertisement

