Back to home
Jenerali Kiambati wa Njora afariki akiwa na miaka 106 Nyandarua
video
C
Citizen TV (Youtube)February 4, 2026
6h ago
Wakaazi wa Kaunti ya Nyandarua wanaomboleza kifo cha shujaa Kiambati wa Njora, Jenerali wa mwisho wa Mau Mau, aliyefariki dunia akiwa na umri wa miaka 106 nyumbani kwake Ngorika, Ol Kalou, Kaunti ya Nyandarua.
Familia yake imethibitisha kuwa alifariki kwa amani kutokana na uzee,
Advertisement
Advertisement





