Back to home

SHA yayumbayumba

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 5, 2026
5h ago
Wagonjwa wa saratani katika hospitali ya kitaifa ya Kenyatta wameeleza masaibu yao kufuatia kukatika mara kwa mara kwa mfumo unaotoa huduma kupitia bima ya SHA. Wagonjwa pamoja na walezi wao wamesema hali hii imewalazimu kusubiri hadi siku tatu kupata matibabu. Na huku ulimwengu
Advertisement