Back to home
Uvamizi wa wanyama porini wadhuru elimu na kilimo kisiwa cha Manda
video
C
Citizen TV (Youtube)February 5, 2026
3h ago
Shughuli za elimu, kilimo na usafiri zimeathirika katika Kisiwa cha Manda kaunti ya Lamu kutokana na uvamizi wa wanyama pori. Wananyama hao wanaojumuisha nyati zaidi ya 500, chui, fisi na mbwa mwitu wanawahangaisha wakazi na kuvamia mashamba na shule. wakazi hao sasa wanataka wan
Advertisement
Advertisement




