Back to home

Jamii ya Endorois yapata ushindi wa kihistoria katika kesi kuhusu ardhi ya Arabal, Baringo

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 5, 2026
2w ago
Jamii ya Endorois imepata ushindi mkubwa wa kihistoria katika kesi dhidi ya Serikali kuhusu kutangazwa kwa eneo kubwa la Arabal katika Kaunti ya Baringo kuwa ardhi ya msitu,uamuzi ambao pia unaathiri ardhi inayohifadhi Shule ya Msingi ya Loromoru, iliyobomolewa na Huduma ya Misit
Advertisement