Back to home

Makabiliano yalizuka kati ya polisi na wafanyabiashara mtaani Ruai, jijini Nairobi.

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 6, 2026
5h ago
Makabiliano yalizuka kati ya polisi na wafanyabiashara mtaani Ruai, jijini Nairobi, baada ya juhudi za kuwaondoa katika eneo lililotengewa ujenzi wa barabara kutibuka. Wafanyabiashara walifunga barabara ya Eastern bypass wakipinga kuhamishwa hadi pale soko jipya litakapojengwa. A
Advertisement