Back to home

Seneta mteule wa ODM Awasilisha mswada unaopendekeza marekebisho kuhusu biashara ya tumbaku

video
N
NTV Kenya (Youtube)
February 6, 2026
1h ago
Seneta mteule WA ODM Catherine Mumma amewasilisha mswada katika bunge la seneti unaopendekeza marekebisho kadhaa kuhusu biashara ya tumbaku, ikiwemo kupigwa marufuku kwa ladha katika bidhaa kama vile vapes na mifuko ya nikotini. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Keny
Advertisement