Back to home

Mshukiwa wa mauaji ya Silas Abung'ana akamatwa

video
N
NTV Kenya (Youtube)
February 7, 2026
1d ago
Maafisa wa polisi wa Shinyalu katika kituo cha Shisasari wamemkamata mshukiwa mkuu wa mauaji ya mchezaji wa Kakamega Homeboys mwendazake Silas Abung'ana ambaye alikuwa ametoroka baada ya kutekeleza mauaji hayo. #NTVWikendi @mwakafridah @loftymatambo Subscribe and watch NTV Ke
Advertisement