Back to home

Visa vya wasichana kuozwa wadogo vimezidi Loiyangalani Marsabit

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 9, 2026
1mo ago
Ndoa za utotoni zikizidi kuzima ndoto za wasichana wafugaji katika eneo la Loiyangalani kaunti ya Marsabit, mama mmoja ameanza kampeni kuzuia kuongezeka kwa visa hivi. Nakidor Moru, ambaye mwenyewe ni muathiriwa wa ndoa za utotoni na ambaye kwa sasa ni balozi wa kujitolea amekata
Advertisement