Back to home

Zaidi ya wanafunzi 30 wa gredi ya 10 wajumuika Mukuru wakishindwa kuripoti shule za sekondari

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 9, 2026
4h ago
Zaidi ya wanafunzi 30 katika mtaa wa Mukuru hapa Nairobi wameshindwa kuripoti katika shule za sekondari ya juu, takriban mwezi mmoja baada ya wenzao kuanza masomo. Baadhi ya wazazi wa wanafunzi hawa wa gredi ya 10 wakidai kurudishwa nyumbani licha ya Rais William Ruto kutoa amri
Advertisement