Back to home

Wakili Lempaa amewasilisha kesi kuzuia utumizi wa pesa za umma kisiasa

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 9, 2026
1h ago
Kesi imewasilishwa mahakamani kutaka kupigwa marufuku kwa Ikulu ya Rais kwa matumizi ya shughuli za kisiasa. Wakili wa maswala ya kikatiba na haki Lempaa Suyianka kwenye kesi yake anasema kuwa, pesa za umma zimekuwa zikitumika kuendeleza ajenda za chama cha UDA katika ikulu. Kesi
Advertisement