Back to home

Imamu Omar Athman afikishwa mahakamani jijini Nairobi kwa ulaghai wa safari za wakenya kwenda Hajj

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 9, 2026
1w ago
Imamu Omar Athman aliyehusishwa na ulaghai wa safari za wakenya kwenda Hajj nchini Saudi Arabia atajua hatma ya endapo ataachiliwa au la hapo kesho. Imam Omar alifikishwa mahakamani kwa madai ya ulaghai wa zaidi ya shilingi laki saba katika mpango wa kuandaa safari ya kwenda kuhi
Advertisement