Back to home
Polisi wanawatafuta washukiwa 20 wa tukio la uchinjaji wwa punda Kajiado
video
C
Citizen TV (Youtube)February 9, 2026
7h ago
Polisi katika eneo la Kajiado West wanawatafuta washukiwa zaidi ya 20 ambao walitoroka baada ya kufumaniwa na wanakijii wakichinja Punda 34 Kichakani jana usiku. Washukiwa waliochinja punda hao katika eneo la Ereteti wanaaminika kuwa katika mipango ya kusafirisha na kuuza nyama h
Advertisement
Advertisement




