Back to home
Wakaazi wa kianjogu, Nyeri waandamana kulalamikia mauaji ya mtoto wao
video
C
Citizen TV (Youtube)February 10, 2026
1d ago
Maafisa wa polisi huko nyeri wamelazimika kutumia gesi ya Kutoa machozi kuwatawanya wakaazi wa Kijiji Cha kianjogu huko Mathira, walioandamana mapema leo wakikashifu mauaji ya mtoto Shantel Waruguru, aliyepotea na kukosekana tangu jumamosi iliyopita
Advertisement
Advertisement





