Back to home
Wanaharakati wa kutetea haki za binadamu, Garisa wanataka wakalimani vituoni vya polisi
video
C
Citizen TV (Youtube)February 11, 2026
3h ago
Wanaharakati wa kutetea haki za binadamu kutoka kaunti ya Garissa, wamelalamikia ukosefu wa mkalimani katika vituo vya polisi, wakisema inakuwa vigumu kutafsiri taarifa za waathiriwa wa dhulma vya kijinsia, haswa kwa walemavu.
Advertisement
Advertisement





