Back to home

Wanaharakati wa kutetea haki za binadamu, Garisa wanataka wakalimani vituoni vya polisi

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 11, 2026
3h ago
Wanaharakati wa kutetea haki za binadamu kutoka kaunti ya Garissa, wamelalamikia ukosefu wa mkalimani katika vituo vya polisi, wakisema inakuwa vigumu kutafsiri taarifa za waathiriwa wa dhulma vya kijinsia, haswa kwa walemavu.
Advertisement