Back to home
Mhubiri Paul Nthenge Mackenzie afunguliwa mashtaka ya mauwaji na itikadi kali Kilifi
video
C
Citizen TV (Youtube)February 11, 2026
2h ago
Mhubiri tata Paul Nthenge Mackenzie amefunguliwa mashtaka ya mauwaji na itikadi kali kwa mauwaji ya kwa Binzaro kaunti ya Kilifi. Mackenzie na washukiwa wengine 7 wamefikishwa katika mahakama za Mombasa na Shanzu ambapo walikana mashtaka hayo
Advertisement
Advertisement



