Back to home
Mpaka na Somalia kufunguliwa Aprili 2026, Rais Ruto asema usalama umeimarika
video
C
Citizen TV (Youtube)February 12, 2026
2h ago
Rais William Ruto amesema mpaka wa Kenya na Somalia utafunguliwa mwezi Aprili mwaka huu kufuatia kuimarishwa kwa usalama katika eneo la kaskazini mashariki. Akizungumza katika halfa ya mradi wa NYOTA kutoka kaunti za Mandera na Wajir, rais Ruto pia amewashutumu baadhi ya viongozi
Advertisement
Advertisement





