Back to home

Jamaa aliyeruka katika jukwaa ya rais huko Wajir amekamatwa

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 13, 2026
6h ago
Raia aliyemkimbilia Rais William Ruto jukwaani hapo jana huko Wajir na kuhatarisha maisha ya rais alikamatwa leo na kuhojiwa na maafisa wa polisi wakitaka kujua sababu ya vitendo vyake. Kama anavyoarifu Emmanuel Too, miundo ya majukwaa ya Rais Ruto yamechangia visa hivyo kuongez
Advertisement