Back to home
John Korir, Agnes Ng'etich ndio mabingwa wa makala ya tano ya mbio za nyika za Absa Sirikwa Classic
video
N
NTV Kenya (Youtube)February 14, 2026
7h ago
Bingwa wa Boston na Valencia marathon John Korir na bingwa wa dunia wa mbio za nyika Agnes Ng'etich ndio mabingwa wa makala ya tano ya mbio za nyika za Absa Sirikwa Classic zilizoandaliwa hii leo katika uwanja wa Lobo, jijini Eldoret kaunti ya Uasin Gishu.
Subscribe and watch N
Advertisement
Advertisement





