Back to home

Wandani wa rais Ruto wakashifu Gachagua

video
N
NTV Kenya (Youtube)
February 14, 2026
6h ago
Wandani wa rais William Ruto wakiongozwa na msaidizi wa rais Farouk Kibet wamekashifu upinzani haswa kinara wa chama cha DCP Rigathi Gachagua wakidai kuwa hawafai kuwachochea wakazi wa Kaskazini mwa Kenya kufaidika na maendeleo kutoka kwa serikali. Subscribe and watch NTV Kenya
Advertisement