Back to home
Watu 7 waripotiwa kujeruhiwa kwenye vurugu iliyotokea mkutanoni Kitengela
video
C
Citizen TV (Youtube)February 15, 2026
2h ago
Watu saba wameripotiwa kujeruhiwa baada ya polisi kurusha vitoa machozi kwenye mkutano wa kisiasa wa mrengo wa ODM unaoongozwa na katibu mkuu Edwin Sifuna eneo la Kitengela kaunti ya Kajiado. Mkutano huu ulitatizwa kiasi kufuatia wingu la vitoa machozi huku wanasiasa waliozungumz
Advertisement
Advertisement



