Back to home
Watu 7 walijeruhiwa kwenye vurugu mkutanoni Kitengela
video
C
Citizen TV (Youtube)February 16, 2026
1d ago
Watu saba walijeruhiwa baada ya polisi kurusha vitoa machozi kwenye mkutano wa kisiasa wa mrengo wa ODM unaoongozwa na katibu mkuu Edwin Sifuna eneo la Kitengela kaunti ya Kajiado hapo jana. Mkutano huo ulitatizwa na wingu la vitoa machozi huku wanasiasa waliozungumza wakielezea
Advertisement
Advertisement




