Back to home

Rigathi Gachagua asisitiza kuwa muungano wa upinzani unajiandaa kukabiliana na rais Ruto

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 16, 2026
11h ago
Kinara wa DCP Rigathi Gachagua alisema kuwa muungano wa upinzani unajiandaa kuhakikisha kuwa rais William Ruto hapati muhula wa pili wa kuongoza taifa. Akizungumza katika eneo bunge la Roysambu, Gachagua alipuuza mdahalo wa ni nani atakayekuwa naibu wa rais katika muungano wa rai
Advertisement