Back to home

Wakulima washauriwa kupanda mimea inayokomaa haraka ili kukabili njaa

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 16, 2026
7h ago
Huku maeneo mbali mbali yakiendelea kukabiliwa na baa la njaa humu nchini kutokana na makali ya kiangazi wadau wa kilimo kaunti ya Kilifi wanawashauri wakulima kupanda mimea ambayo inakomaa kwa muda mfupi na pia inayohitaji maji kidogo. Wakiongozwa na mkurugenzi mtendaji wa shiri
Advertisement