Back to home

Arnold Ethan, raia wa Uganda, azuiliwa siku 30 kwa kuiba mtoto wa miaka 3

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 16, 2026
4h ago
Maafisa wa polisi mjini Malindi wanamzuilia mwanaume mmoja wa miaka 29 aliyenaswa na maafisa wa ujasusi akivuka mpaka wa Kenya eneo la Lunga Lunga kuelekea Tanzania na mtoto wa miaka 3 ambaye amekuwa akitafutwa na familia yake.
Advertisement