Back to home
Wakulima watumia jivu la maganda ya nazi kukuza mimea kisumu
video
C
Citizen TV (Youtube)February 17, 2026
3h ago
Wakulima wengi katika jiji la Kisumu wameanza kilimo cha kisasa, ambapo wanatumia jivu la maganda ya nazi kukuza mimea yao. Kulingana na wanasayansi, jivu hilo lina rotuba ya juu na pia linakinga mimea dhidi ya athari ya uvamizi wa wadudu. Na kama anayoarifu Laura Otieno, serikal
Advertisement
Advertisement



