Back to home

Mfaransa Juliene Mette achukua hatamu Tusker FC baada ya kuondoka kwa Charles Okere

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 17, 2026
5h ago
Mfaransa Juliene Mette amechukua rasmi hatamu katika timu ya Tusker Fc kufuatia kufutwa kazi kwa Charles Okere kama kocha mkuu. Mette atakuwa na Anthony Kimani kama msaidizi wake, Kimani akicheza jukumu sawa katika timu ya taifa ya kandanda, harambee stars.
Advertisement